SETTING MPYA ZA VPN YA WIRE TUN KATIKA MTANDAO WA TIGO
JINSI YA KUTUMIA VPN YA WIRE TUN KATIKA MTANDAO WA TIGO TANZANIA πΉπΏ.
VPN YA WIRE TUN NI UNLIMITED KWA MTANDAO WA TIGO.
VPN hii inatumia server ambazo zipo katika VPN hiyo haiitaji ku import file kama vpn zengine tunazo zijua kama Ha tunnel plus au NapsterVpn.
Hii inahitaji laini ya Tigo Tu ilikufanya kazi.
Hivi karibu imekuwa ikigoma ku connect au ina connect kwa muda mfupi hii imekuwa tatizo sana hivyo basi leo nitawaletea namna ya ku connect VPN Yako Ya Wire Tun Bila Kusumbua tena .
Namna ya ku connect VPN Yako Ya Wire Tun Kwa Tigo
1.Hakikisha ume update VPN yako Ya Wire Tun katika Playstore baada ya Kudownload.
Kisha fungua VPN Yako ilikuanza kuitumia ila kabla ya ku connect hakikisha unafanya hitu hivi .
2.Itabidi ufungue "add" access point zaidi ya moja ama APN Hii itakuwa kama moja ya setting ili kuweza ku ping server yako pindi inapogoma itabid uwe na APN zaidi ya tano hadi kumi ivi .
3.Baada ya kuwa na APN zaidi ya tano kabla ya ku connect hakikisha una restart simu au zima kisha subili zaidi ya dk 1 baada ya apo washa simu yako tena .
4.Ingia katika VPN yako Ya Wire Tun kisha chagua server usitumie ile yenye alama ya motoπ₯ Hii server mara nyingi huwa na watu wengi sana chagua server napendekeza usichague USA πΊπΈ tumia server za Canada π¨π¦ hizi huwa ana speed kubwa sana .
5.Bonyeza "connect" ili kuanza kutumia VPN Ya Wire Tun bila kusumbua
NB:Hakikisha ikiwa inagoma una restart simu pia kuna baadhi ya simu zinagoma kama samsung huwa zinasumbua sana
Ahsante π Jiunge Telegram Kwa msaada zaidi https://t.me/bongotechtz
Tembelea YouTube channel Kupata Maujanja zaidi π₯





Maoni
Chapisha Maoni